Zab 16:7-9
Zab 16:7-9 SUV
Nitamhimidi BWANA aliyenipa shauri, Naam, mtima wangu umenifundisha usiku. Nimemweka BWANA mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuumeni kwangu, sitaondoshwa. Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nao utukufu wangu unashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.