Zaburi 16:7-9
Zaburi 16:7-9 NEN
Nitamsifu BWANA ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha. Nimemweka BWANA mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika. Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama