Mpaka lini, Ee BWANA? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini? Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini, na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu? Adui zangu watanishinda mpaka lini? Nitazame, unijibu, Ee BWANA Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti. Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka. Lakini ninategemea upendo wako usiokoma; moyo wangu unashangilia katika wokovu wako. Nitamwimbia BWANA, kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.
Soma Zaburi 13
Sikiliza Zaburi 13
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 13:1-6
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video