Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohana 5:2-3

1 Yohana 5:2-3 NEN

Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake. Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yohana 5:2-3