1
Matendo ya Mitume 17:27
Swahili Roehl Bible 1937
Alitaka, wamtafute Mungu, kama wanaweza kumnyatia, mpaka wamwone. Namo miongoni mwetu sisi hamna hata mmoja tu, ambaye anamkalia mbali.
Linganisha
Chunguza Matendo ya Mitume 17:27
2
Matendo ya Mitume 17:26
Kwa tendo lake yeye watu wa mataifa yote wametoka kwa mmoja, wakakaa ko kote katika nchi zote zilizoko nchini; akawagawia huko kale siku zao za kuwapo, akawakatia nayo mipaka ya makao yao.
Chunguza Matendo ya Mitume 17:26
3
Matendo ya Mitume 17:24
Mungu aliyeuumba ulimwengu navyo vyote vilivyomo hakai katika nyumba za kuombea zilizojengwa na mikono ya watu, kwani yeye ni Bwana wa mbingu na wa nchi.
Chunguza Matendo ya Mitume 17:24
4
Matendo ya Mitume 17:31
Kwani ameweka siku, atakapompa mtu mmoja, aliyemwonea kazi hiyo, auhukumu ulimwengu wote kwa wongofu; lakini kwanza anawahimiza wote, wamtegemee, maana amemfufua katika wafu.
Chunguza Matendo ya Mitume 17:31
5
Matendo ya Mitume 17:29
Basi, tukiwa uzao wake Mungu, haifai kumfananisha Mungu na maumbo ya dhahabu au ya fedha au ya jiwe yaliyotengenezwa kwa uwezo na kwa mawazo ya kimtu.
Chunguza Matendo ya Mitume 17:29
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video