YouVersion Logo
Search Icon

Plan Info

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021Sample

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

DAY 3 OF 31

Viongozi wa dini ya Kiyahudi walipomwuliza Yesu maswali, mara nyingi aliwajibu kwa maswali. Tendo la Yesu kusafisha hekalu liliwaudhi sana. Dai lao kubwa ni kwamba mamlaka aliyo nayo amepewa na nani? Tatizo lao ni kujiona ni wenye haki wakati maisha yao yanapingana na ukweli wa Neno la Mungu. Swali la Yesu kwao lina mamlaka ya kimungu, hivyo linawahukumu. Badala ya kutubu wanakwepa ukweli na kutumia uongo. Hili ni tatizo kubwa kwa watu wengi. Je, wewe unafanyaje Neno la Yesu linapokuchoma?

Scripture

Day 2Day 4

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy