Mafunzo ya YesuMuestra
Kuhusu Uzinzi na Talaka
Yesu anafunza kuhusu dhambi ya kuzini na masababishi ya talaka.
Swali 1: Tunwawezaje wasaidia wanao tenda uzinzi ama talaka na bado kutii neno la Mungu?
Swali 2: Uasherati na talaka vinamaanisha nini kwako?
Swali 3: Kutokana na maandiko, unafikiri Yesu angependa ufanye nini?
Escrituras
Acerca de este Plan
Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
More