Mafunzo ya YesuMuestra
Chumvi na Nuru
Yesu aongea kuhusu chumvi na mwanga ndiposa kufunza umati wanavyopaswa kuishi.
Swali 1: Itafananaje familia yako kuishi kama chumvi na mwanga?
Swali 2: Ni kitu gani hukuzuia kuacha mwanga wako uangaze mbele ya wengi wakati mwingine?
Ni vikapu vipi vinazuia mwangaza wako.
Swali 3: Tunaweza kufanya nini ili tuwe chumvi na nuru kwa wenzetu?
Escrituras
Acerca de este Plan
Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
More