1
Luka 12:40
Biblia Habari Njema
Nanyi, kadhalika muwe tayari, maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia.”
Thelekisa
Phonononga Luka 12:40
2
Luka 12:31
Shughulikeni kwanza juu ya ufalme wa Mungu, na hayo mtapewa kwa ziada.
Phonononga Luka 12:31
3
Luka 12:15
Basi, akawaambia wote, “Jihadharini na kila aina ya tamaa; maana uhai wa mtu hautegemei wingi wa vitu alivyo navyo.”
Phonononga Luka 12:15
4
Luka 12:34
Pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
Phonononga Luka 12:34
5
Luka 12:25
Ni nani kati yenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuongeza kidogo urefu wa maisha yake?
Phonononga Luka 12:25
6
Luka 12:22
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa sababu hiyo nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula mnachohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu.
Phonononga Luka 12:22
7
Luka 12:7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope, basi; nyinyi mna thamani kuliko shomoro wengi!
Phonononga Luka 12:7
8
Luka 12:32
“Msiogope, enyi kundi dogo! Maana Baba yenu amependa kuwapeni ufalme.
Phonononga Luka 12:32
9
Luka 12:24
Chukueni kwa mfano, kunguru: Hawapandi, hawavuni wala hawana ghala yoyote. Hata hivyo, Mungu huwalisha. Nyinyi mna thamani zaidi kuliko ndege!
Phonononga Luka 12:24
10
Luka 12:29
“Basi, msivurugike akili, mkihangaika juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.
Phonononga Luka 12:29
11
Luka 12:28
Ikiwa basi, Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, si atawafanyia nyinyi zaidi? Enyi watu wenye imani haba!
Phonononga Luka 12:28
12
Luka 12:2
Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.
Phonononga Luka 12:2
Ekuqaleni
IBhayibhile
Izicwangciso
Iividiyo