Soma Biblia Kila Siku 11/2020Mfano

Nuhu alijenga safina na kuandaa kila kitu kama Mungu alivyomwamuru (m.5: Nuhu akafanya kama vile Bwana alivyomwamuru.Na m.16, Walioingia, waliingia mume na mke, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; Bwana akamfungia [Nuhu]). Angalia kwamba wote walipokuwa wameingia ndani kama Mungu alivyopanga, ndipo BWANAakamfungia. Mwenye kuhukumu ni Mungu. Mungu mwenyewe alifunga mlango wa safina. Na Mungu akishafunga, hakuna mtu anayeweza kufungua. Huenda walikuwepo waliojuta walipoona gharika, lakini walishachelewa! Yesu atakapokuja mara ya pili, itakuwa vilevile. SAFINA ni YESU! Je, umeshaingia? Endelea kuzingatia swali hili, ukisoma Mt 24:36-41 na 25:10-13.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 11/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Mwanzo na 1 Petro. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo
