Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 13:6-7

Waroma 13:6-7 BHN

Kwa sababu hiyohiyo nyinyi hulipa kodi; maana viongozi hao humtumikia Mungu ikiwa wanatimiza wajibu wao. Mpeni kila mtu haki yake; mtu wa ushuru, ushuru; wa kodi, kodi; na astahiliye heshima, heshima.

Video for Waroma 13:6-7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 13:6-7