Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 6:12-13

Ufunuo 6:12-13 BHN

Kisha nikatazama, na wakati Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa sita, kukawa na tetemeko kubwa la ardhi; jua likawa jeusi kama gunia la manyoya; mwezi wote ukawa mwekundu kama damu; nazo nyota za mbingu zikaanguka juu ya ardhi kama matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 6:12-13