Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 6:12-13

Ufunuo 6:12-13 SRUV

Nami nikaona, alipoufungua mhuri wa sita, palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa jeusi kama gunia la singa, mwezi wote ukawa kama damu, na nyota zikaanguka juu ya nchi kama vile mtini upukutishavyo mapooza yake, utikiswapo na upepo mwingi.

Soma Ufunuo 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 6:12-13