Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 89:29-33

Zaburi 89:29-33 BHN

Nitaudumisha daima ukoo wake wa kifalme, na ufalme wake kama mbingu. “Lakini wazawa wake wakiiacha sheria yangu, wasipoishi kadiri ya maagizo yangu, kama wakizivunja kanuni zangu, na kuacha kutii amri zangu, hapo nitawaadhibu makosa yao; nitawapiga kwa sababu ya uovu wao. Lakini sitaacha kumfadhili Daudi, wala kuwa mwongo kuhusu uaminifu wangu.

Soma Zaburi 89

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 89:29-33