Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 5:11-12

Zaburi 5:11-12 BHN

Lakini wafurahi wote wanaokimbilia usalama kwako, waimbe kwa shangwe daima. Uwalinde wanaolipenda jina lako, wapate kushangilia kwa sababu yako. Maana wewe Mwenyezi-Mungu wawabariki waadilifu; wawakinga kwa fadhili zako kama kwa ngao.

Soma Zaburi 5