Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 143:8-11

Zaburi 143:8-11 BHN

Asubuhi unioneshe fadhili zako, maana nimekuwekea tumaini langu. Unifundishe mwenendo wa kufuata, maana nakuelekezea ombi la moyo wangu. Uniokoe, ee Mwenyezi-Mungu, kutoka maadui zangu, maana kwako nakimbilia usalama. Unifundishe kutimiza matakwa yako, maana wewe ni Mungu wangu! Roho yako nzuri iniongoze katika njia sawa. Unifadhili, ee Mwenyezi-Mungu, kwa hisani yako, uniondoe katika taabu kwa sababu ya uadilifu wako.

Soma Zaburi 143

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 143:8-11