Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:7-8

Mathayo 6:7-8 BHN

“Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi. Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.