Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:3-6

Mathayo 5:3-6 BHN

“Heri walio maskini rohoni, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Heri walio na huzuni, maana watafarijiwa. Heri walio wapole, maana watairithi nchi. Heri wenye njaa na kiu ya kufanya atakavyo Mungu, maana watashibishwa.