Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 25:35-36

Mathayo 25:35-36 BHN

Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha; nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 25:35-36