Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 23:8-12

Mathayo 23:8-12 BHN

Lakini nyinyi msiitwe kamwe ‘Mwalimu,’ maana mwalimu wenu ni mmoja tu, nanyi nyote ni ndugu. Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni. Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo. Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu. Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 23:8-12