Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 19:28-29

Mathayo 19:28-29 BHN

Yesu akawaambia, “Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti chake cha enzi kitukufu katika ulimwengu mpya, nyinyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli. Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uhai wa milele.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 19:28-29