Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 19:28-29

Mathayo 19:28-29 SRUV

Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli. Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.

Soma Mathayo 19

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 19:28-29