Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 22:50-51

Luka 22:50-51 BHN

Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia. Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 22:50-51