Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:6-7

Luka 2:6-7 BHN

Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia, akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.