Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:6-7

Luka 2:6-7 SRUV

Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia, akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Soma Luka 2