Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:33-35

Luka 2:33-35 BHN

Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, “Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu; na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 2:33-35