Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoeli 3:15-16

Yoeli 3:15-16 BHN

Jua na mwezi vinatiwa giza, na nyota zimeacha kuangaza. Mwenyezi-Mungu ananguruma huko Siyoni; sauti yake inavuma kutoka Yerusalemu; mbingu na dunia vinatetemeka. Lakini Mwenyezi-Mungu ni kimbilio la watu wake, ni ngome ya usalama kwa Waisraeli.

Soma Yoeli 3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yoeli 3:15-16