Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 8:6

Yeremia 8:6 BHN

Mimi nilisikiliza kwa makini, lakini wao hawakusema ukweli wowote. Hakuna mtu anayetubu uovu wake, wala kujiuliza; ‘Nimefanya nini?’ Kila mmoja wao anashika njia yake, kama farasi akimbiliavyo moja kwa moja vitani.

Soma Yeremia 8