Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 8:6

Yeremia 8:6 NEN

Nimewasikiliza kwa makini, lakini hawataki kusema lililo sawa. Hakuna anayetubia makosa yake akisema, “Nimefanya nini?” Kila mmoja hufuata njia yake mwenyewe kama farasi anayekwenda vitani.