Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 14:22-23

Mwanzo 14:22-23 BHN

Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu, aliyeumba mbingu na dunia, kwamba sitachukua uzi au kamba ya kiatu, wala chochote kilicho chako, usije ukajivuna na kusema kwamba umenitajirisha.

Soma Mwanzo 14

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 14:22-23