Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 14:22-23

Mwanzo 14:22-23 NEN

Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na dunia, na nimeapa kwamba sitapokea kitu chochote kilicho chako, hata kama ni uzi au gidamu ya kiatu, ili kamwe usije ukasema, ‘Nimemtajirisha Abramu.’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 14:22-23