Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 18:13-15

Ezekieli 18:13-15 BHN

anakopesha kwa riba na kujitafutia ziada, je, mtoto huyo ataishi? La, hataweza kuishi. Kwa kuwa amefanya machukizo yote hayo, hakika atakufa, na yeye mwenyewe atawajibika kwa kifo chake. “Lakini kama mtu huyo akiwa na mtoto ambaye ameona dhambi alizotenda baba yake, lakini yeye hatendi mabaya hayo, hali tambiko zilizokatazwa huko mlimani, wala kuziabudu sanamu za miungu ya Waisraeli, hamnajisi mke wa jirani yake

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 18:13-15