Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 2:11-12

Kutoka 2:11-12 BHN

Siku moja, Mose alipokuwa mtu mzima, aliwaendea Waebrania wenzake ili kujionea taabu zao. Basi, akamwona Mmisri mmoja anampiga Mwebrania, mmoja wa ndugu zake Mose. Mose akatazama huku na huko, na alipoona kwamba hakuna mtu karibu, alimuua yule Mmisri na kumficha mchangani.

Soma Kutoka 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 2:11-12