Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 15:2-3

Kutoka 15:2-3 BHN

Mwenyezi-Mungu hunijalia nguvu na uwezo, yeye mwenyewe ndiye anayeniokoa. Yeye ni Mungu wangu nami nitamsifu, ni Mungu wa baba yangu nami nitamtukuza. Mwenyezi-Mungu ni shujaa vitani; Mwenyezi-Mungu ndilo jina lake.

Soma Kutoka 15

Video for Kutoka 15:2-3

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 15:2-3