Kumbukumbu la Sheria 23:21-23
Kumbukumbu la Sheria 23:21-23 BHN
Unapoweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, usichelewe kuitekeleza, maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wako ataidai kwako, nawe utakuwa na kosa. Lakini ukiacha kuweka nadhiri hutakuwa na dhambi. Uwe mwangalifu kutimiza nadhiri uliyotamka kwa mdomo wako, maana ulimwahidi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, kwa hiari yako.