Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 4:34

Danieli 4:34 BHN

“Mwishoni mwa ile miaka saba, mimi Nebukadneza niliinua macho yangu kutazama juu mbinguni na akili zangu zikanirudia. Nilimshukuru Mungu Mkuu na kumheshimu yeye aishiye milele: Kwa sababu enzi yake ni enzi ya milele, ufalme wake wadumu kizazi hata kizazi.

Soma Danieli 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 4:34