Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 4:34

Danieli 4:34 NEN

Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele. Utawala wake ni utawala wa milele; ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Danieli 4:34