Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 2:11-12

Wakolosai 2:11-12 BHN

Katika kuungana na Kristo nyinyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi. Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo mlifufuliwa pia pamoja naye kwa kuamini katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka kwa wafu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 2:11-12