Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amosi 7:14-15

Amosi 7:14-15 BHN

Amosi akamjibu Amazia, “Mimi si nabii wa kuajiriwa, wala si mmoja wa kikundi cha manabii. Mimi ni mchungaji na mtunza mikuyu. Mwenyezi-Mungu alinitoa katika kazi yangu hiyo ya uchungaji, akaniamuru nije kuwaambia unabii watu wake wa Israeli.

Soma Amosi 7

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Amosi 7:14-15

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha