2 Mambo ya Nyakati 7:15-16
2 Mambo ya Nyakati 7:15-16 BHN
Sasa nitalichunga hekalu hili na kusikiliza maombi yatakayofanyika hapa, kwa maana nimeitakasa nyumba hii ili watu waliabudu jina langu hapa milele. Nitailinda na kuipenda daima.
Sasa nitalichunga hekalu hili na kusikiliza maombi yatakayofanyika hapa, kwa maana nimeitakasa nyumba hii ili watu waliabudu jina langu hapa milele. Nitailinda na kuipenda daima.