Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 5:12-13

1 Wakorintho 5:12-13 BHN

Je, ni shauri langu kuwahukumu watu walio nje? Hao Mungu atawahukumu. Je, nyinyi hampaswi kuwahukumu wale walio katika jamii yenu nyinyi wenyewe? Mfukuzeni mbali nanyi huyo mwovu!

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 5:12-13