Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 5:12-13

1 Wakorintho 5:12-13 NEN

Yanihusu nini kuwahukumu wale watu walio nje ya kanisa? Je, si mnapaswa kuwahukumu hao walio ndani? Mungu atawahukumu hao walio nje. “Ninyi mwondoeni huyo mtu mwovu miongoni mwenu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 5:12-13