Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 21:24-26

Ufunuo 21:24-26 SRUV

Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani yake. Na milango yake haitafungwa kamwe mchana; kwa maana humo hamna usiku. Nao wataleta utukufu na heshima ya mataifa ndani yake.

Soma Ufunuo 21

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 21:24-26