Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 69:6-9

Zaburi 69:6-9 SRUV

Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. Maana kwa ajili yako nimestahimili laumu, Fedheha imenifunika uso wangu. Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, Na asiyetambuliwa na wana wa mama yangu. Maana mvuto wa nyumba yako umenila, Na laumu zao wanaokulaumu zimenipata.

Soma Zaburi 69

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 69:6-9