Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 69:6-9

Zaburi 69:6-9 NEN

Ee Bwana, ewe BWANA Mwenye Nguvu Zote, wakutumainio wasiaibishwe kwa ajili yangu; wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako, aibu imefunika uso wangu. Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe. Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila, matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 69:6-9