Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 51:1-3

Zaburi 51:1-3 SRUV

Ee Mungu, unirehemu, kulingana na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako, Uyafute makosa yangu. Unioshe kabisa uovu wangu, Unitakase dhambi zangu. Maana nimejua mimi makosa yangu Na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

Soma Zaburi 51