Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 40:1-2

Zaburi 40:1-2 SRUV

Nilimngoja BWANA kwa subira, Akaniinamia na kusikia kilio changu. Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.

Soma Zaburi 40

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 40:1-2

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha