Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 32:1-3

Zaburi 32:1-3 SRUV

Heri aliyesamehewa dhambi, Na kuondolewa makosa yake. Heri ambaye BWANA hamhesabii hatia, Na ambaye rohoni mwake hamna hila. Nilipokosa kuungama dhambi zangu, mifupa yangu ilipooza Kwa kulia kwangu mchana kutwa.

Soma Zaburi 32