Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 143:8-11

Zaburi 143:8-11 SRUV

Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi, Kwa maana nimekutumaini Wewe. Unifundishe njia nitakayoiendea, Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu. Ee BWANA, uniponye kutoka kwa adui zangu; Nimekukimbilia Wewe, unifiche. Unifundishe kuyatenda mapenzi yako, Kwa maana ndiwe Mungu wangu; Roho yako mwema aniongoze katika njia iliyo sawa, Ee BWANA, uniponye kwa ajili ya jina lako, Kwa haki yako unitoe roho yangu taabuni

Soma Zaburi 143

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 143:8-11