Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 116:8-9

Zaburi 116:8-9 SRUV

Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka. Nitaenenda mbele za BWANA Katika nchi za walio hai.

Soma Zaburi 116